Katibu Mtendaji wa Chama cha Afya ya
Jamii Tanzania (TPHA), Fabian Magoma (kulia), akizungumza katika
Kongamano la 33 la siku tano la Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA)
linaloendelea Hoteli ya Kebby Mwenge jijini Dar es Salaam leo asubuhi.
Kushoto ni Mwenyekiti wa TPHA anayemaliza muda wake, Daktari Bingwa
Elihuruma Nangawe.
Dk. Manase Frank akitoa mada kwenye kongamano hilo.
Profesa Andrew Swai akitoa mada.
Wadau wa sekta ya afya wakifuatilia kwa karibu mada zilizokuwa zikitolewa katika kongamano hilo.
Kongamano likiendelea.
Dk. Andronicus Aloyce Rwelamila kutoka
Hospitali ya Tumbi Kibaha (kushoto) na Muuguzi wa Hospitali hiyo, Mary
Gowele wakiwa kwenye kongamano hilo.
Kongamano likiendelea
Usikivu katika kongamano hilo. Kushoto ni Mwenyekiti wa TPHA, Dk. Elihuruma Nangawe
Profesa Japhet Kileo (kulia), akiuliza maswali kwenye
kongamano hilo.
Dk. Mwanahamisi Magwangwara (kushoto),
akizungumza wakati akijibu maswali mbalimbali kutoka kwa wadau wa sekta
ya afya katika kongamano la 33 la siku tano la Chama cha Afya ya Jamii
Tanzania (TPHA) linaloendelea Hoteli ya Kebby Mwenge jijini Dar es
Salaam leo. Kulia ni mtoa mada, Profesa Andrew Swai.
Dk.Chilolo Edward (katikati), akijibu
maswali kuhusu changamoto ya waendesha bodaboda. Kushoto ni Profesa
Andrew Swai na Dk. Manase Frank.
Mkurugenzi wa Shirika la Wanawake katika
Jitihada za Maendeleo (WAJIKI), Janeth Mawinza akielezea changamoto ya
matumizi ya pombe katika Manispaa ya Kinondoni.
No comments:
Post a Comment