Tuesday, 17 March 2015

Tatizo la nguvu za kiume ni lakisakolojia



Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa Kwenye tovuti ya nature, yanaonyesha kuwa  matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume hasa kushindwa kusimamisha vizuri, kunasababishwa kwa kiasi kikubwa na matatizo ya kisaikolojia.  Matatizo hayo yapo zaidi kwa wanaume  wengi wenye umri wa miaka  ya kati (makamo),  ukilinganisha na wenye umri  mdogo.Kwa Habari zaidi

No comments:

Post a Comment