Tuesday, 10 March 2015

Daktari bingwa KCMC asotea mafao kwa miaka 10

Daktari bingwa wa zamani wa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Dk Fulgence Mosha anasotea mafao yake ya kiinua mgongo na pensheni kwa miaka 10 mfululizo bila mafanikio. 

Akizungumza juzi, Dk Mosha alisema licha ya kulifikisha suala hilo kwenye vyombo husika, ikiwamo Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, bado mafao yake ni kitendawili.
 Habari kamili

No comments:

Post a Comment