Friday, 13 March 2015

Wanaume waliofunga uzazi wadai nguvu za kiume zimeongezeka

Kuna njia mbalimbali za uzazi wa mpango na kila ya uzuiaji mimba ina faida zake na hasara. Hata hivyo kuna chaguo mbalimbali ambazo zinafanya kazi kwa kila mwanamke au mwanaume.
 
Daktari au muuguzi aliyefunzwa uzazi wa mpango anaweza kumsaidia kila anayehitaji huduma kuamua ni njia ipi sahihi kwake kwa muda mrefu.
Afya ya uzazi ni ya msingi kwa afya ya ujumla na ustawi wa mtu mmoja mmoja, wana ndoa, familia na kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi.kwa maelezo zaidi

No comments:

Post a Comment