Kuna njia mbalimbali za uzazi wa mpango na kila ya uzuiaji mimba
ina faida zake na hasara. Hata hivyo kuna chaguo mbalimbali ambazo
zinafanya kazi kwa kila mwanamke au mwanaume.

Daktari au muuguzi aliyefunzwa uzazi wa mpango
anaweza kumsaidia kila anayehitaji huduma kuamua ni njia ipi sahihi
kwake kwa muda mrefu.
Afya ya uzazi ni ya msingi kwa afya ya ujumla na
ustawi wa mtu mmoja mmoja, wana ndoa, familia na kwa maendeleo ya
kijamii na kiuchumi.kwa maelezo zaidi
No comments:
Post a Comment