Wednesday, 11 March 2015

Ngariba mstaafu asimulia namna alivyokeketa wasichana zaidi ya 100

"Siku hiyo sintaisahau maishani,  iliyonifanya nilazimike kuacha ukeketaji…majira hayo ya alfajiri nilikeketa wasichana 20, watano kati yao waliishiwa nguvu kabisa kwa kutokwa damu nyingi na kuzirai…nilichanganyikiwa sikujua nifanye nini. Mume wangu aliiangalia hali hiyo akaniambia shauri yako utafungwa na serikali…Niliogopa sana…sikujua la kufanya. Baadaye wasichana wale walipata fahamu …nikaapa kuwa sitafanya tena ukeketaji" anasema ngariba mstaafu  Mariana Ndama, 66, mkazi wa kijiji cha Ikungi mkoani Dodoma.
 
Kwa Mariana, tukio hilo alilichukulia kuwa sio la kawaida kabisa hata kudhani kuwa, amechezewa (kurogwa ) na maadui zake wasiomtakia mema kwa mafanikio na umaarufu aliokuwa anaupata kwa ukeketaji wasichana.Bofya hapa kwa stori zaidi

No comments:

Post a Comment