Monday, 16 March 2015

Breaking news: Moto wazuka Hosteli za Mabibo

Kwa taarifa ambazo zimetufikia muda huu zinadai kuwa Bweni la Wanawake Mabibo Hosteli jijini Dar es Salaam linaungua moto muda huu, bado sababu na chanzo cha moto huo bado hakijafahamika,Mtu mmoja ameumia kutokana na kuruka kutoka ghorofani. kwa habari zaidi

No comments:

Post a Comment