Monday, 2 March 2015

TPHA KUJA NA JENGO LA KISASA

CHAMA Cha Afya ya Jamii Tanzania (Tanzania Public Health Association-TPHA), kipo kwenye mkakati kabambe wa kuendeleza na kuinua mapato ya chama hicho ikiwemo kujenga jengo la kitega uchumi la kisasa litakalo kuwa na zaidi ya gorofa 20, katika makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam.

Hayo yalibainishwa mjini hapa jana kwenye kongamano la 31 la Kisayansi na Mkutano mkuu wa mwaka wa TPHA unaoendelea katika ukumbi wa Stella Maris, mjini Bagamoyo ambapo wataalamu wa majengo nchini wa kampuni ya K&M Archplans (T)Ltd, walipowasilisha mpango kazi wao huo ikiwemo mchoro wa jengo hilo la TPHA litakavyokuwa.Endelea kusoma

No comments:

Post a Comment