Saturday, 7 March 2015

Nafasi 50 za kazi: Kusambaza dawa kwa wateja

Kituo kinachojihusisha na tiba asilia na huduma ya vyakula-lishe kwa wenye kusumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya, kinatangaza nafasi za kazi ya usambazaji dawa kwa wateja wake waliopo katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam.

SIFA ZA MWOMBAJI :

1. Awe wa jinsia ya kike
2. Elimu isiyopungua darasa la saba na isiyo zidi kidato cha nne.
3. Awe msafi, maridadi, mwaminifu na anaye jituma.
4. Awe anaishi jijini Dar Es salaam.

MAJUKUMU YA KAZI : Kusambaza dawa zetu kwa wateja wetu waliopo katika kata mbalimbali za jiji la Dar es Salaam.
IDADI YA NAFASI : HAMSINI.

MALIPO : Shilingi ELFU KUMI KWA SIKU.

Andika maombi yako ya kazi kupitia barua pepe yetu ambayo ni: neemarecruitmentagency@gmail.com

Maombi yako yaelekezwe kwa MKURUGENZI MTENDAJI, NEEMA RECRUITMENT AGENCY.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 21 MACHI 2015.

Kazi kuanza tarehe 30 MARCH 2015

No comments:

Post a Comment